ni bahazi ya matatizo ambayo yanaweza kutokea kutokana na mabadiliko ya genetic za wazazi na kuweza kutoa watoto wenye utofauti na wakawaida,..ingawa siku zipo njia za kupata watoto ambao mzazi mwenyewe anapenda ambao ujulikana kama (designed baby) ambao upatikana kwa kuchangia genetic ya mzazi muhusika kwenye kiini ambacho kimechukulia na ambacho kipo tayari kutoa mtoto kwa kufanya mabadiliko ya viini ingawa bado njia hiyo kuanza kutmika sana
MKWACHU
Tuesday, May 29, 2012
Monday, May 28, 2012
chunusi zinaweza kusababisha kifo kwa binadamu kwani chunusi utumika kama njia ya wadudu wa maambukizi kuingia ndani ya mwili na kuingia kwenye mishipa midogo ya damu ambayo inasambaza damu kwenye eneo la sura ivo mtu mwenye chunusi anashauliwa kuacha kutumbua chunusi ovyo au baada ya kutumbua anawe na sabuni kuepusha maambukizi ya vijiduu kama bacteria kuingia ndani ya mishipa ya damu
Wednesday, February 15, 2012
Saturday, January 28, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)